MAXIMO ALIVYOMKURUPUSHA KOCHA KIBONGE WA PRISONS JANA
Kocha wa Yanga SC, Mbrazil Marcio Maximo (kushoto) alimfuata kocha wa Prisons, David Mwamwaja (kulia) kumsalimia kabla ya mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu hizo jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga SC ilishinda 2-1
0 comments:
Post a Comment