La kwanza la msimu; Mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku akifumua shuti kufunga katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion leo katika Ligi Kuu ya England. Hilo ni bao la kwanza la Lukaku msimu huu, baada ya kusajiliwa moja kwa moja na kocha Roberto Martinez kutoka Chelsea kufuatia kuichezea kwa mkopo timu hiyo msimu uliopita. Bao lingine la Everton lilifungwa na Kevin Mirallas.
Furious footy WAG names and shames AFL troll who left a horrific one-word
slur on photo featuring her baby daughter
-
Mikayla Fantasia used a TikTok video to get on the front foot after a
family portrait she posted to social media was hit with a deplorable insult.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment