Bondia Mrusi, Sergey Kovalev akimpeleka chini kwa konde mkongwe Bernard Hopkins mwenye umri wa miaka 49, katika Raundi ya kwanza, katika pambano la uzito wa juu usiku wa kuamkia leo ukumbi wa Boardwalk mjini Atlantic City. Kovalev alishinda kwa pointi pambano hilo la raundi 12 na kuunganisha mataji matatu.
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-2827165/Sergey-Kovalev-beats-Bernard-Hopkins-dominant-performance-unify-world-titles.html#ixzz3IYylafTF
0 comments:
Post a Comment