• HABARI MPYA

    Monday, November 10, 2014

    SERGE WAWA ATUA AZAM FC

    Beki mzoefu wa Ivory Coast, Serge Wawa amewasili usiku wa jana nchini kwa ajili ya kuja kusaini Mkataba wa kujiunga na Azam FC. Serge anayekuja kuungana na Kipre Tchetche na Kipre Balou pia wa Ivory Coast, anakuja Azam baada ya kumaliza Mkataba wake El Merreikh ya Sudan.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SERGE WAWA ATUA AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top