• HABARI MPYA

    Thursday, April 16, 2015

    BAYERN MUNICH YAKUNG'UTWA 3-1 NA PORTO URENO

    Bayern goalkeeper Manuel Neuer brings down Porto striker Jackson Martinez to concede a third minute penalty 
    Kipa wa Bayern Munich, Manuel Neuer akimuangusha mshambuliaji wa Porto, Jackson Martinez na kusababisha penalti dakika ya tatu, ambayo ilitiwa kimiani na Ricardo Quaresma. Porto ilishinda 3-1 Uwanja wa Dragao mjini Porto, Ureno mabao yake mengine yakifungwa na Quaresma tena na Jackson Martinez wakati la Bayern Munich la kufutia machozi lilifungwa na Thiago Alcantara. 

    PICHA ZAIDI NENDA: 

    http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3040483/Porto-3-1-Bayern-Munich-Ricardo-Quaresma-scores-early-double-Jackson-Martinez-pounces.html#ixzz3XPpDsGf7 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BAYERN MUNICH YAKUNG'UTWA 3-1 NA PORTO URENO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top