• HABARI MPYA

    Thursday, April 16, 2015

    KWA NINI SOL CAMPBELL KAJIPAKA HII MIRANGI AONEKANE MZUNGU?

    Sol Campbell is part of a new campaign to encourage minorities to register to vote for the General Election
    Beki wa zamani wa Arsenal, Sol Campbell akiwa amejipaka rangi usoni aonekane kama Mzungu katika kampeni maalum ya kuwahamasisha Waingereza Weusi kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi Mkuu wa ujao 
    Campbell won 73 caps for his country, scoring one goal over the space of nine years
    Nahodha huyo wa zamani wa Three Lions, Campbell aliichezea mechi 73 England, akiifungia bao moja katika miaka zaidi ya tisa 
    Poster featuring David Harewood, one of four black British stars appearing with white faces in a hard-hitting new campaign to encourage minorities to register to vote
    Poster featuring Tinie Tempah, one of four black British stars appearing with white faces in a hard-hitting new campaign to encourage minorities to register to vote
    Wanamuziki David Harewood na Tinie Tempa pia wameshiriki kampeni hiyo
    Former Paralympian and current TV presenter Ade Adepitan is also part of the Operation Black Vote campaign
    Nyota wa zamani wa Olimpiki ya walemavu, maarufu kama Paralimpiki ambaye kwa sasa ni mtangazaji wa Televisheni Ade Adepitan pia ameshiriki kampeni hiyo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KWA NINI SOL CAMPBELL KAJIPAKA HII MIRANGI AONEKANE MZUNGU? Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top