Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney akimtoka mchezaji wa Southampton katika mechi ya Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St. Mary's timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Southampton walizawadiwa penalti ndani ya dakika tano za mwanzo baada ya Eric Bailly kuunawa mpira nje ya boksi, lakini kipa Sergio Romero akaokoa mkwaju wa Manolo Gabbiadini PICHA ZAIDI GONBA HAPA
Footy superstar Nick Daicos blasted for his fashion sense after posing for
this seemingly run-of-the-mill photo with an Aussie TV legend - can you
tell why?
-
He might be one of the best players in the AFL , but Nick Daicos is rapidly
becoming a meme for finishing second-best - including in a recent image
with TV...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment