Wachezaji wa Huddersfield Town wakishangilia na taji lao la mechi ya mchujo ya Championship kuwania kupanda Ligi Kuu England baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 120 leo Uwanja wa Wembley, London. Liam Moore alipaisha mkwaju wake kabla ya Danny Ward kuokoa penalti ya Jordan Obita na pamoja na kipa Ali Al-Habsi kuokoa tuta la Michael Hefele, haikuzuia Huddersfield Town kurejea Ligi Kuu mwa mara ya kwanza tangu mwaka 1972 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New footage reveals the moments before football manager collapsed and died
mid-match, leaving his players in disbelief, as it emerges he 'complained
about fish he had eaten' hours before
-
Mladen Zizovic, 44, collapsed on the side of the pitch 22 minutes into
Radnicki 1923's match against Mladost on Sunday evening, and later passed
away after...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment