Nyota wa Arsenal mwenye umri wa miaka 26, Aaron Ramsey akitimua mbio kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 79 ikiilaza 2-1 Chelsea katika fainali ya Kombe la FA England leo Uwanja wa Wembley, London. Bao la kwanza la Arsenal lilifungwa na Alexis dakika ya nne, kabla ya Diego Costa kuisawazishia Chelsea dakika ya 76. Chelsea ilimaliza pungufu baada ya Victor Moses kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kujiangusha kwenye boksi dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A cultural revolution? Trump’s America feels oddly familiar to those
watching from China
-
Demands of absolute loyalty and attacks on institutions have raise memories
of Mao-style chaos from US watchers in China
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment