Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney akiwaongoza wenzake katika ukimya wa dakika moja kabla ya kuanza mazoezi viwanja vya Carrington, Manchester kuwaombea watu 22 waliofariki dunia baada ya shambulizi la kigaidi kwenye tamasha la muziki wa Pop mjini Manchester usiku wa Jumatatu tukio ambalo lilisababisha watu wengine 119 wajetuhiwe. United inafanya mazoezi hapo leo kujiandaa na mchezo wa fainali ya Europa League kesho Friends Arena mjini Stockholm, Sweden dhidi ya Ajax PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Gordon has not scored or assisted for NINETEEN Premier League
games... but CRAIG HOPE reveals why Newcastle insiders are not worried, his
honest talks with Eddie Howe and the strange motivational technique the
England star will use
-
Gordon revealed in the summer that he needs something to go wrong to come
back stronger. 'I need to make it personal with myself,' he told me in
Seoul.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment