Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney akiwaongoza wenzake katika ukimya wa dakika moja kabla ya kuanza mazoezi viwanja vya Carrington, Manchester kuwaombea watu 22 waliofariki dunia baada ya shambulizi la kigaidi kwenye tamasha la muziki wa Pop mjini Manchester usiku wa Jumatatu tukio ambalo lilisababisha watu wengine 119 wajetuhiwe. United inafanya mazoezi hapo leo kujiandaa na mchezo wa fainali ya Europa League kesho Friends Arena mjini Stockholm, Sweden dhidi ya Ajax PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Tottenham: Live score, team news and updates as Son Heung-min
waves goodbye after a decade in north London in a pre-season friendly
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Newcastle take on Tottenham at the Seoul World Cup Stadium in a
pre-season fr...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment