Winga wa Simba, Shiza Kichuya (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita mshambuliaji wa AFC Eskilstuna ya Denmark, Thomas Ulimwengu mwenye mwonekano mpya baada ya kunyoa rasta katika mazoezi ya timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars jioni ya leo Uwanja wa Kituo cha Jakaya Kikwete (JMKYC), eneo la Gerezani, Dar es Salaam. Kulia ni kocha wa Taifa Stars, Salum Mayanga 
Beki wa Azam, Shomary Kapombe akitafuta maarifa ya kumtoka Shiza Kichuya
Winga wa Yanga, Simon Msuva akipiga mpira dhidi ya Thomas Ulimwengu
Kulia kabisa ni Mbaraka Yussuf Abeid wa Kagera Sugar
Wachezaji wa Azam FC kutoka kulia Gardiel Michael, Erasto Nyoni na Shomary Kapombe
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment