Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima (kulia) akisalimiana na aliyekuwa kiungo wa Simba, Patrick Mutesa Mafisango baada ya mchezo wa Ngao ya Jamii Agosti 17, mwaka 2011 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0, mabao ya Haruna Moshi ‘Boban’ dakika ya 15 na Felix Sunzu dakika ya 38. Leo ni miaka mitano tangu Mafisango afariki kwa ajali ya gari Mei 17, mwaka 2012 akiwa mchezaji wa Simba SC. Mungu amsamehe dhambi zake na ampumzishe kwa amani daima. Amin.
Jack Wilshere tells all on his decision to manage Luton Town: Mikel
Arteta's warning to him, the manager who inspired his coaching journey, and
what style he is going to play
-
MATT BARLOW: Jack Wilshere is ready to take the plunge. At least, as ready
as he will ever be. He is braced for life as the new manager of Luton Town.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment