Lionel Messi akiifungia Argentina bao la kusawazisha dakika ya 57 kwa penalti ikipata sare ya 1-1 na Paraguay iliyotangulia kwa bao la Richard Sanchez dakika ya 37 kwenye mchezo wa Kundi B michuano ya Kombe la Mataifa ya Amerika Kusini, Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Governador Magalhaes Pinto mjini Belo Horizonte, Minas Gerais. Kwa matokeo hayo. Kwa matokeo hayo, Argentina sasa inashika mkia ikiokota pointi ya kwanza katika mchezo wa pili, ikizidiwa wastani wa mabao na waalikwa, Qatar, huku Colombia ikiongoza kwa pointi zake sita ikifuatiwa na Paraguay pointi mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the TV commercial that made a spooky prediction about the NSW Blues'
huge State of Origin problem
-
Footy fans were left shocked by a major NSW failing in the two-point loss
to the Maroons on Wednesday - but they'd been warned about it in a
commercial fea...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment