Tyson Fury akishangilia baada ya kumshinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya pili Mjerumani, Tom Schwarz katika pambano la uzito wa juu ngumi za kulipwa Alfajiri ya Jumapili ukumbi wa MGM Grand Arena mjini Las Vegas, Marekani. Baada ya ushindi huo, Tyson Fury maarufu kama Gypsy King atakuwa na pambano lingine mjini Las Vegas Septemba au Oktoba kabla ya kurudiana na Deontay Wilder mwaka mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ADC says House member Leke Abejide not suspended
-
From Emmanuel Adeyemi, Lokoja The African Democratic Congress, Kogi State
chapter, has said that the Member of the House of Representatives for Yagba
Fed...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment