Tyson Fury akishangilia baada ya kumshinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya pili Mjerumani, Tom Schwarz katika pambano la uzito wa juu ngumi za kulipwa Alfajiri ya Jumapili ukumbi wa MGM Grand Arena mjini Las Vegas, Marekani. Baada ya ushindi huo, Tyson Fury maarufu kama Gypsy King atakuwa na pambano lingine mjini Las Vegas Septemba au Oktoba kabla ya kurudiana na Deontay Wilder mwaka mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pope, Bumrah, Bashir - how England v India will be won and lost
-
BBC Sport and data analysts CricViz look at the key battles that could
decide the outcome of the England v India Test series.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment