Manake hapo kwanza nicheke! 😆 Huhitaji laini mpya kujiunga na AzamPesa! Vimba kwa kutumia namba yako ya Tigo, Airtel au Zantel. Jisajili leo kupitia wakala wa AzamPesa karibu yako ufurahie Huduma za Kifalme kwa Bei za Kizawa. @officialbakhresagroup @azampesa #AzamPesa #HudumazaKifalme #BeizaKizawa
0 comments:
Post a Comment