KLABU ya Simba imeachana na kocha wake, Mspaniola Pablo Franco Martin baada ya makubaliano ya pande zote MBILI na kuelekea mechi zilizobaki kumalizia msimu wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara timu itakuwa chini ya kocha Msaidizi, Suleiman Matola.Pamoja na Pablo aliyejiunga na timu hiyo Novemba mwaka jana, Simba pia imeachana na kocha wa mazoezi ya viungo Daniel De Castro Reyes ambaye pia ni Mspaniola.
Angry Leeds fan tries to confront Daniel Farke and is led away by stewards
as tempers boil over at Elland Road after defeat by Aston Villa
-
Leeds boss Daniel Farke said he shared the fans' 'anger and disappointment'
after a 2-1 home defeat to Aston Villa left them in the Premier League
relegati...
32 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment