WENYEJI, KMC wamelazimishwa sare ya 0-0 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kwa sare hiyo kila timu inafikisha pointi 15 katika mchezo wa 14, KMC ikibaki nafasi ya 10 na Prisons nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi ya timu 16, ambayo mwisho wa msimu mbili zitashuka.
Stephen A. Smith's ESPN colleagues 'ordered to cut ties with gaming app
after he hyped controversial company'
-
ESPN reportedly ordered some of its on-air talent to cut ties with a
controversial online gaming app without asking the same of the network's
biggest star,...
55 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment