KIUNGO wa Simba SC, George Lucas ‘Gazza’ akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Yanga SC, Kenneth Pius Mkapa katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (sasa Ligi Kuu) Machi 27, mwaka 1993 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) Jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Said Nassor Mwamba ‘Kizota’ marehemu yote dakika ya 47 na 57 kwa pasi za Zamoyoni Mogella, wakati la watani wao lilifungwa na Edward Chumila dakika ya 75.
Joel Embiid miffed by FT disparity in 76ers' Game 3 loss to Knicks: 'I
guess it's good when New York wins'
-
The Knicks attempted 32 free throws on Friday night, twice as many as the
Sixers.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment