KIUNGO wa Simba SC, George Lucas ‘Gazza’ akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Yanga SC, Kenneth Pius Mkapa katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (sasa Ligi Kuu) Machi 27, mwaka 1993 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) Jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Said Nassor Mwamba ‘Kizota’ marehemu yote dakika ya 47 na 57 kwa pasi za Zamoyoni Mogella, wakati la watani wao lilifungwa na Edward Chumila dakika ya 75.
Dad pays a heartwarming tribute to teenager who was killed in freak cricket
accident - but what happened next will make your blood boil
-
A father has called for 'respect' in the community after his tribute to
cricketer Ben Austin came to an outrageous end.
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment