ZANZIBAR HEROES YAICHAPA STARS 1-0 KOMBE LA MAPINDUZI
BAO la kiungo Feisal Salum Abdallah dakika ya 52 limetosha kuipa Zanzibar Heroes ushindi wa 1-0 dhidi ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars katika mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Mapinduzi leo Uwanja wa Gombani, Pemba.
0 comments:
Post a Comment