Lucas Moura
KLABU ya Chelsea ilikuwa ilitanga dau la euro Milioni 40
kumnasa winga wa Sao Paulo, Lucas Moura lakini limepigwa chini, japokuwa bado
wanaisaka saini yake kwa usi na uvumba, kwa mujibu wa rais wa klabu hiyo ya Brazil.
Kijana huyo wa bei mbaya mwenye umri wa miaka 19, tayari
ameichezea mechi 11 Brazil, akiifungia bao moja, na pia anawaniwa na Inter na Real
Madrid.
0 comments:
Post a Comment