Rais Kikwete |
Rais Kikwete amesikitishwa na kifo cha Mafisango katika umri mdogo na amewapa pole wana Simba wote.
Amesema katika kipindi kifupi cha Mafisango kucheza Tanzania amechangia mafanikio ya soka ya Tanzania kupitia klabu yake, Simba. Mwili wa Mafisango umeagwa leo kwenye Uwanja wa TCC Chang'ombe na kwenda kuhifadhiwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, tayari kusafirishwa kesho kwenda Kinshasa, DRC kwa mazishi.
0 comments:
Post a Comment