• HABARI MPYA

    Monday, June 11, 2012

    UFARANSA, ENGLAND ZATOSHANA NGUVU, MABAO YOTE YAFUNGWA NA NYOTA WA MAN CITY

    • Wachezaji wa England wakimpongeza Lescott wa pili kushoto baada ya kuifungia Three Lions bao la kuongoza dakika ya 30 dhidi ya Ufaransa huu katika mechi ya Euro 2012. Timu hizo zimetoka 1-1 baada ya Samir Nasri kuisawazishia Ufaransa dakika ya 39. Lescott na Nasri wote ni wachezaji wa manchester City ya England. Mechi kati ya Ukraine na Sweden inafuatia hivi karibuni.

    Lescott anafunga

    Nasri anafunga

    Lescott anafunga
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UFARANSA, ENGLAND ZATOSHANA NGUVU, MABAO YOTE YAFUNGWA NA NYOTA WA MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top