• HABARI MPYA

    Sunday, February 10, 2013

    ALIYEWAFUNGA MAN CITY ATOA KALI, ASHANGILIA KWA STAILI YA 'KUSTANJI'


    KIUNGO Jason Puncheon alionyesha ishara ya kutawaza kama mtu aliyemaliza kujisaidia haja kubwa mbele ya mashabiki baada ya kufunga bao la kwanza timu yake Southampton ikiilaza 3-1 Manchester City jana.
    Kiungo huyo wa Southampton ni mtu wa mzaha sana na aliwahi kuomba ruhusa ya kutoka uwanjani ili aende chooni mara moja, mechi yao Saints ikirushwa moja kwa moja dhidi ya Everton.
    Puncheon celebrates Southampton's first goal by pretending to wipe his bottom
    Jason Puncheon akishangilia bao lake dhidi ya Man City
    Southampton v Man City
    Cheeky: Jason Puncheon celebrates his goal against Man City
    Hivyo, kulikuwa kuna namna moja tu ya Puncheon kushangilia bao lake ufunguzi katika mechi hiyo ya Ligi Kuu.
    Puncheon alikimbia upande wa mashabiki wa nyumbani, akainama na kuanza kufanya kama anatawaza.
    Number one: Puncheon opens the scoring against Manchester City
    Puncheon anafunga bao la kwanza
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ALIYEWAFUNGA MAN CITY ATOA KALI, ASHANGILIA KWA STAILI YA 'KUSTANJI' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top