• HABARI MPYA

    Saturday, February 09, 2013

    MAN CITY YAPIGWA 3-1 NA SOUTHAMPTON


    MAKOSA ya Joe Hart na Gareth Barry yameigharimu Manchester City katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya kufungwa na Southampton3-1, huo ukiwa ushindi wao wa kwanza chini ya Mauricio Pochettino.

    TAKWIMU ZA MECHI:

    Kikosi Southampton: Boruc, Clyne, Yoshida, Hooiveld, Fox (Richardson 71), Cork, Schneiderlin, Steven Davis (Ward-Prowse 80), Puncheon (Lallana 61), Rodriguez, Lambert. 
    Benchi: Kelvin Davis, Forren, Lee, Chaplow.
    Kadi ya njano: Lambert.
    Wafungaji wa mabao: Puncheon dk7, Davis dk22, Barry (kujifunga) dk48.
    Kikosi Man City: Hart, Zabaleta, Lescott (Kolarov 66), Javi Garcia, Clichy, Nasri (Milner 55), Yaya Toure, Barry, Silva (Maicon 73), Aguero, Dzeko. 
    Benchi: Pantilimon, Sinclair, Rodwell, Yaya Toure.
    Njano: Clichy, Yaya Toure.
    Mfungaji wa bao: Dzeko 39.
    Mahudhurio: 31,738
    Refa: Martin Atkinson (W Yorkshire)
    Dejection: Manchester City's title hopes are hanging by a thread after defeat at Southampton

    Wachezaji wa Manchester City hoi
    Scorer: Puncheon celebrated his goal with some unusual moves
    Puncheon akishangilia bao lake
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAN CITY YAPIGWA 3-1 NA SOUTHAMPTON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top