• HABARI MPYA

    Thursday, August 08, 2013

    BARCELONA SASA WAMTAKA AGGER BAADA YA KUTIMULIWA CHELSEA NA OFA YAO KWA LUIZ, WAWEKA MEZANI PAUNI MILIONI 17 LIVERPOOL

    IMEWEKWA AGOSTI 8, 2013 SAA 7:48 MCHANA
    KLABU ya Barcelona haijapoteza muda katika kuwania saini ya Daniel Agger, baada ya kuonywa kuhusu David Luiz, na imetoa ofa ya Pauni Milioni 17 kumtaka beki huyo wa Liverpool.
    Chelsea iliwaka baada ya ofa ya awali ya Pauni Milioni 34.5 kwa ajili ya Luiz kwa kuipiga chini na kuwaambia Barcelona wasijisumbue kurejea tena na ofa yoyote, kwani beki wao Mbrazil hauzwi kwa bei yoyote.
    Wanted man: Agger is being chased by Spanish giants Barcelona after they were rebuffed in a bid for Luiz
    Anayetakiwa: Agger anatakiwa na vigogo wa Hispania, Barcelona baada ya kumkosa Luiz

    Ujumbe unaonekana kufika nyumbani na vyanzo nchini Denmark vimesema leo kwamba vigogo wa Nou Camp wameanza harakati za kumsajili Agger na wametoa ofa ya Pauni Milioni 17 mezani kumuondoa Anfield.
    Hii inaleta wakati mwingine mgumu kwa kocha Brendan Rodgers, ambaye yupo katikati ya sakata la Luis Suarez, kutokanana Agger kutakiwa na Barcelona, lakini mabosi wa Anfield wamesema hawana mpango wa kuuza mchezaji wao yeyote.
    Changing sights: Agger is now wanted by the Catalans afetr their bid for Luiz was knocked back by Chelsea
    Changing sights: Agger is now wanted by the Catalans afetr their bid for Luiz was knocked back by Chelsea
    Wamebadili malengo: Agger sasa anatakiwa na vigogo wa Katalunya baada ya ofa yao ya kumtaka Luiz kutupwa kapuni na Chelsea
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BARCELONA SASA WAMTAKA AGGER BAADA YA KUTIMULIWA CHELSEA NA OFA YAO KWA LUIZ, WAWEKA MEZANI PAUNI MILIONI 17 LIVERPOOL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top