• HABARI MPYA

    Friday, August 02, 2013

    UKIPAGAWA NA NGASSA KWA MUNTARI NDIO UTADATA KABISAAAA

    IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 2:07 ASUBUHI
    JANA tulisoma kuhusu mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Ngassa anavyojiandaa kwa maisha baada ya soka na leo tutaona kuhusu kiungo wa kimataifa wa Ghana, Sulley Muntari.
    Nyota huyo wa zamani wa Portsmouth amefungua kampuni ya kukodisha magari ya kifahari na pikipiki kwa mastaa mbalim bali nchini Italia.
    My ride: Sulley Muntari offers a pimping service for footballers
    Ndinga zake: Sulley Muntari anatoa ofa hizi kwa wanasoka wenzake
    Still playing: The AC Milan midfielder is over in America for pre-season and came up against Manchester City on Wednesday
    Bado anacheza: Kiungo wa AC Milan alikuwa Amerika kwa ajili ya mechi za kujiandaa na msimu na alicheza dhidi ya Manchester City Jumatano
    Service: Muntari offers pimping to musicians and designers as well as footballers
    Huduma: Muntari anatoa vitu kama hivi kwa wanamuziki wabunfu na wanasoka
    Bike
    In the family: Sulley's brother Muniru signs an autograph for the wall
    Mwana familia: Kaka wa Sulley, Muniru akisaini autograph

    Muntari ameanzisha kampuni ambayo inaitwa 4FKMotosport, yenye maskani yake Italia ambayo inatoa huduma kwa pia wabunifu, wanamuziki na mamilionea wowote.
    Akiwa ana umri wa miaka 28 tu, mitatu zaidi ya Ngassa, nyota huyo wa Ghana amejiimarisha kiuwekezaji katika kuelekea kwenye maisha baada ya soka.  
    In good company: Muntari has framed shirts from his Italian clubs - Inter and AC Milan
    Kampuni nzuri: Muntari ameweka pia bango la jezi za klabu kongwe za Italia - Inter na AC Milan
    Remember me: Sulley has a picture of himself in his office
    Nikumbuke mimi: Sulley ameweka picha yake ofisini kwake
    Ghana midfielder Sulley Muntari has set up an exclusive car pimping company in Italy called 4FK Motorsport.
    Muntari amechezea klabu zote kubwa Milan, Inter na AC na alikuwa sehemu ya kikosi cha Jose Mourinho kilichotwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya mwaka 2010.
    Ameichezea mechi 77 Ghana, na alicheza kwa muda mfupi Sunderland na kushinda Kombe la FA alipokuwa Portsmouth mwaka 2008.
    Cog: Muntari (left) was crucial during Portsmouth's FA Cup win in 2008
    Pati la ubingwa: Muntari (kushoto) alipata mafanikio alipokuwa Portsmouth kwa kutwaa Kombe la FA mwaka 2008
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: UKIPAGAWA NA NGASSA KWA MUNTARI NDIO UTADATA KABISAAAA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top