• HABARI MPYA

    Saturday, September 07, 2013

    ENGLAND YAUA 4-0 KUFUZU KOMBE LA DUNIA, RONALDO APIGA HAT TRICK URENO IKIPIGA MTU NNE

    IMEWEKWA SEPTEMBA 7, 2013 SAA 6:46 USIKU
    ENGLAND imeifumua Moldova 4-0 katika mechi ya kuwania tiketi ya kucheza Kombe la Dunia mwakani Brazil, lakini imepata pigo, Danny Welbeck aliyefunga mabao mawili ataukosa mchezo ujao dhidi ya Ukraine baada ya kupewa kadi ya njano na refa Ivan Kruzliak wa Slovakia
    Welbeck alipewa kadi hiyo kwa kosa la kuendelea kucheza licha ya maelekezo ya refa kumkataza na sasa atakosekana Jumanne England ikimenyana na Ukraine.
    Leo alicheza vizuri akishirikiana na Rickie Lambert pale mbele ambao wote walifunga pamoja na Steven Gerrard.
    Mshambuliaji huyo wa Southampton, Lambert alitoa pasi nzuri zote za mabao ya Welbeck aliyefunga dakika za 45 na 50 na yeye mwenyewe alitangulia kufunga dakika ya 26 baada ya Gerarrd kufunga la kwanza dakika ya 12.
    Kikosi cha England kilikuwa: Hart, Walker, Cole/Baines, dk45, Cahill, Jagielka, Gerrard, Walcott, Lampard, Wilshere/Barkley, dk59, Welbeck na Lambert/Milner, dk70.
    Moldova: Namasco, Armas, Golovatenco, Epureanu, Bulgaru/Suvorov, dk57, Bordiyan, Ionita/Onica, dk19, Antoniuc, Dedov, Gheorghiev/Pascenco, dk84 na Sidorenco.
    Double your money: Welbeck scored twice as England moved to the top of their group
    Zidisha mara mbili fedha zako: Welbeck amefunga mabao mawili na kuiwezesha England kupanda kileleni mwa kundi
    Net gains: Welbeck scores his second and England's fourth
    Nyavuni: Welbeck akiifungia England bao la nne ambalo lilikuwa la pili kwake
    Yellow peril: Welbeck is booked by ref Ivan Kruzliak and will miss Tuesday's game in Ukraine
    Njano mbaya: Welbeck amepewa kadi ya njano na refa Ivan Kruzliak sasa ataukosa mchezo wa Jumnne na Ukraine
    Not happy: Welbeck argues with the referee at full time
    Hafuragii: Welbeck akibishana na refa baada ya mechi
    Hapa ni namna ambavyo Welbeck alivyofunga bao lake la pili kwa England na la nne katika mchezo huo- sasa gonga hapa kujua zaidi yaliyojiri katika mechi hiyo
    Welbeck 2nd
    Leading by example: Steven Gerrard smashes in England's first from long range
    Kuongoza kwa mifano: Steven Gerrard akipiga shuti kufunga
    Opening salvo: Steven Gerrard made it 1-0 to England with a screamer
    Alifungua biashara vizuri: Steven Gerrard aliifungia bao la kwanza England 
    Best 11: Rickie Lambert celebrates putting England two up
    11 Bora: Rickie Lambert akishangilia bao lake aliloifungia England
    Eyes on the prize: Welbeck rounds the goalkeeper and scores to make it 3-0
    Welbeck akimzunguka kipa kabla ya kufunga bao la tatu
    Barkley cashing in: The young Everton midfielder (right) made his England debut
    Barkley amecheza: Kiungo kinda wa Everton aliichezea England mechi ya kwanza leo
    Driving on: Jack Wilshere played nearly an hour
    Jack Wilshere alicheza karibu saa nzima
    Fully committed: Frank Lampard thunders in for England
    bado yuko sawa: Frank Lampard ameifungia England

    Katima mchezo mwingine, Cristiano Ronaldo alifunga hat-trick kipindi cha pili kuipa Ureno ushindi wa 4-2 dhidi ya Ireland Kaskazini Uwanja wa Windsor Park, mechi ambayo ilishuhudiwa kadi tatu nyekundu zikitoka.
    'Cheap Gareth Bale': Irish fans taunted Cristiano Ronaldo but he responded by scoring a hat-trick
    Cristiano Ronaldo akishangilia moja ya mabao yake
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ENGLAND YAUA 4-0 KUFUZU KOMBE LA DUNIA, RONALDO APIGA HAT TRICK URENO IKIPIGA MTU NNE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top