![]() |
Kiungo wa Simba SC, Abdulhalim Humud 'Gaucho' akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa KMKM
|
![]() |
| Zahor Pazi akimtoka beki wa KMKM |
![]() |
| Twaha Ibrahim 'Neymar' akitia krosi |
![]() |
| Neymar wa Msimbazi anamzunguka mtu |
![]() |
| Haruna Shamte anapanda |
![]() |
| Zahor Pazi anapasua katikati ya watu |
![]() |
| Said Ndemla anafunga bao la kwanza |
![]() |
| Said Ndemla anapasua katikati ya msitu wa wachezaji wa KMKM |
![]() |
| Amisi Tambwe akiruka kupiga kichwa |
![]() |
| Ramadhani Chombo 'Redondo' akienda chini baada ya kuchezewa rafu |
![]() |
| Kipa wa KMKM, Mudathir Khamis akishuhudia mpira wa adhabu wa Kaze Gilbert ukielekea nyavuni |
![]() |
| Zahor Pazi akipiga kichwa mpira uliozuiwa na wachezaji wa KMKM |
![]() |
| Kikosi cha Simba SC leo |
![]() |
| Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe alikuwepo Taifa leo |
![]() |
| Kikosi cha KMKM waliosimama wawili wa katikati ni Abdi Kassim 'Babbi' kulia na Ally Ahmed 'Shiboli' kushoto |


















.png)