![]() |
Mourinho akimpongeza kocha wa Newcastle baada ya mechi |
MABAO ya Yoan Gouffran na Loic Remy yameipa Newcastle ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea katika Ligi Kuu ya England leo, huku Manchester City ikiifumua Norwich 7-0.
Gouffran alifunga bao lake dakika ya 68 na Remy akafunga dakika ya 89 katika mchezo huo ambao timu ya Jose Mourinho ilikamatwa kila idara.
Kikosi cha Chelsea kilikuwa: Cech, Ivanovic, Terry, Luiz, Cole, Lampard/Schurrle dk70, Ramires, Oscar, Mata/Willian dk62, Hazard, Torres/Eto'o dk62Newcastle: (4-4-2): Krul 7; Debuchy 7, Williamson 6, Yanga-Mbiwa 6, Santon 6; Sissoko 8, Cabaye 7, Tiote 6 (Anita 53, 7), Gouffran 7 (Obertan 84); Shola Ameobi 5 (Cisse 62, 6), Remy 7.
Newcastle: Krul, Debuchy, Williamson, Yanga-Mbiwa, Santon, Sissoko, Cabaye, Tiote/Anita dk53, Gouffran/Obertan dk84, Shola Ameobi/Cisse dk62 na Remy.
Winner: Yoan Gouffran celebrates the header that gave Newcastle all three points over Chelsea
Making sure: Loic Remy scored a late second as Chelsea went in search of an equaliser
Bouncing back: Alan Pardew's team picked up their first win in three matches
Nayo Manchester City imeshinda mabao 7-0 dhidi ya Norwich City katika mchezo mwingine wa ligi hiyo. Mabao ya City yamefungwa na Johnson aliyejifunga dakika ya 16, Silva dakika ya 20, Nastasic dakika ya 25, Negredo dakika ya 36, Toure dakika ya 60, Aguero dakika ya 71 na Dzeko dakika ya 86.
Kikosi cha Man City kilikuwa: Pantilimon, Zabaleta, Demichelis, Nastasic, Clichy, Nasri/Milner dk71, Fernandinho, Toure, Silva/Jesus Navas dk73, Aguero, Negredo/Dzeko dk45.
Norwich: Ruddy, Martin, Turner, Bassong, Olsson, Johnson, Whittaker/Murphy, Howson, Fer , Pilkington na Hooper/Elmader dk45.
Curler: Yaya Toure celebrates after scoring a free-kick for Manchester City's fifth
Sweet as you like: Toure's free-kick flew over the wall and landed pinpoint perfect into the top corner
Doubling the lead: David Silva fires in the second after a cutback from Aguero
0 comments:
Post a Comment