• HABARI MPYA

    Thursday, January 16, 2014

    NEMANJA MATIC KATIKA MAZOEZI YA KWANZA CHELSEA BAADA YA KUKAMILISHA USAJILI


    Kiungo mkabaji: Kiungo mpya wa Chelsea, Nemanja Matic akifanya mazoezi na klabu yake hiyo ya zamani leo katika viwanja vya mazoezi vya Cobham baada ya kurejea rasmi kwa dau la Pauni Milioni 21 kutoka Benfica ya Ureno. 
    Big money move: The Serbian midfielder cost the London club £21million
    Kiungo huyo mkajabi wa Kiserbia amewahi kuchezea Cheslea miaka mitatu iliyopta hapa anamfunga tela Demba Ba
    Floored: Blues striker Demba Ba can't keep his footing as Matic skips past him
    Alisajiliwa na kocha Carlo Ancelotti Agosti 2009 kutoka Kosice ya Slovakia, lakini kocha huyo Mtaliano akamtema miaka miwili na nusu baadaye baada ya kucheza mechi tatu tatu
    Talking tactics: Chelsea manager Jose Mourinho addresses his latest signing
    Lakini kocha wa sasa Chelsea, Jose Mourinho kulia amemrejesha kikosini akiamini ndiye suluhisho la safu ya kiungo katika ulinzi
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEMANJA MATIC KATIKA MAZOEZI YA KWANZA CHELSEA BAADA YA KUKAMILISHA USAJILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top