• HABARI MPYA

    Friday, January 10, 2014

    REAL MADRID YAUA 2-0 KOMBE LA LIGI HISPANIA

    Benzema akishangilia bao lake jana
    WINGA Gareth Bale amecheza dakika 90 kwa mara ya kwanza 2014 wakati Real Madrid ikiinda mechi ya kwanza ya Kombe la Hispania hatua ya 16 bora na kuifunga 2-0 Osasuna. 
    Karim Benzema alifunga bao lake la 99 dakika ya tisa akiwa na jezi ya Real Madrid na kinda wa miaka 20, Jese akafunga la pili dakika ya 60. Lakini Real walipoteza nafasi kibao za kuongeza mabao kipindi cha pili ukiwemo mkwaju wa Bale uliotokana na Ronaldo kuchezewa rafu katika eneo la hatari.
    Superhuman: Cristiano Ronaldo leaps highest in the box for a header
    Keep it down! Unfortunately for Ronaldo his header went well over the bar
    Cristiano Ronaldo made a superhuman effort at the back post but couldn't keep his header down
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID YAUA 2-0 KOMBE LA LIGI HISPANIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top