![]() |
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta akifanya yake katikati ya mabeki wa Msumbiji |
![]() |
Samatta alikuwa mwiba wa sadu ya ulinzi ya Msumbiji jana |
![]() |
Mshambuliaji wa Tanzania, John Bocco akimtoka beki wa Msumbiji, Dario Khan jana |
![]() |
Winga wa Tanzania, Mrisho Ngassa akimtoika beki wa Msumbiji, Zainadine Junior jana |
![]() |
Samatta alijituma kiasi cha kutosha jana na ndiye aliyefunga bao la Stars kwa juhudi zake binafasi |
![]() |
Thomas Ulimwengu akimtoka Almiro Lobo |
![]() |
Mbwana Samatta akilia baada ya mwchi jana, huku akisaidiwa na shabiki kulia |
![]() |
Kikosi cha Stars kilichoanza jana |
![]() |
Kikosi cha Msumbiji jana |
0 comments:
Post a Comment