Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (kushoto) akiwa na Mreno mwenzake wa timu hiyo, Pepe wakati wakisafiri kwenda Manchester, England kwa ajili ya mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kesho Uwanja wa Etihad. Kulikuwa kuna wasiwasi wa Ronaldo kuukosa mchezo huo kutokana na kukosekana katika mchezo wa La Liga Jumamosi, Real Madrid ikishinda 3-2 ugenini dhidi ya Rayo Vallecano kwa sababu alikuwa majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Storm Floris map shows where heavy rain and up to 85mph winds are set to
hit the UK
-
Yellow weather warnings for wind have been issued across most of the country
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment