Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (kushoto) akiwa na Mreno mwenzake wa timu hiyo, Pepe wakati wakisafiri kwenda Manchester, England kwa ajili ya mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kesho Uwanja wa Etihad. Kulikuwa kuna wasiwasi wa Ronaldo kuukosa mchezo huo kutokana na kukosekana katika mchezo wa La Liga Jumamosi, Real Madrid ikishinda 3-2 ugenini dhidi ya Rayo Vallecano kwa sababu alikuwa majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pundits divided over VAR controversy in Liverpool's clash with Real Madrid
as reason for surprise decision is revealed - after Reds fans were
convinced they were getting a penalty
-
The Reds thought they were about to be awarded a spot kick against their
Spanish opponents when Aurelien Tchouameni handled the ball inside the
penalty are...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment