Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akienda baada ya kuchezewa rafu na kiungo wa Manchester City, David Silva katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad, Manchester, England usiku huu, timu hizo zikitoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana wiki ijayo Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid, Hispani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three things we learned from Chelsea draw as tactical tweak unlocks new
blueprint
-
A juggling act on the wing produced a far better team performance against
Liverpool
6 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment