Connor Wickham wa Crystal Palace akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Selhurts Park katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Palace limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya sita wakati la Watford limefungwa na Troy Deeney dakika ya 55. Palace sasa watamenyana na Manchester United katika fainali Mei 21. United iliitoa Everton jana kwa mabao 2-1 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment