Wachezaji wa Liverpool wakisherehekea na Kombe lao la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur, mabao ya washambuliaji Mmisri Mohamed Salah dakika ya pili kwa penalti na Mbelgiji mwenye asili ya Kenya, Divock Origi dakika ya 87 Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania usiku wa jana. Hilo linakuwa taji la sita kwa Liverpool la Ligi ya Mabingwa, baada ya awali kulibeba misimu ya 1976–1977, 1977–1978, 1980–1981, 1983–1984 na 2004–2005 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The potential cost the Lionesses will have to pay out of their
own pocket for loved ones to watch them in the group stages of Euro 2025
-
A study has shown how much each member of England's Euro 2025 squad may
have to pay individually to have loved ones fly out and stay to watch them
in Switz...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment