Wachezaji wa Liverpool wakisherehekea na Kombe lao la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur, mabao ya washambuliaji Mmisri Mohamed Salah dakika ya pili kwa penalti na Mbelgiji mwenye asili ya Kenya, Divock Origi dakika ya 87 Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania usiku wa jana. Hilo linakuwa taji la sita kwa Liverpool la Ligi ya Mabingwa, baada ya awali kulibeba misimu ya 1976–1977, 1977–1978, 1980–1981, 1983–1984 na 2004–2005 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Neymar SUES Brazilian journalist who accused him of being 'addicted to
whiskey, energy drinks and late-night gaming sessions'... as injury-plagued
star responds to wild claims with cryptic social media post
-
Neymar is taking legal action after being accused of an 'addiction to
whisky and energy drinks' along with unprofessional 'late-night gaming
sessions'.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment