Wachezaji wa Liverpool wakisherehekea na Kombe lao la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur, mabao ya washambuliaji Mmisri Mohamed Salah dakika ya pili kwa penalti na Mbelgiji mwenye asili ya Kenya, Divock Origi dakika ya 87 Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania usiku wa jana. Hilo linakuwa taji la sita kwa Liverpool la Ligi ya Mabingwa, baada ya awali kulibeba misimu ya 1976–1977, 1977–1978, 1980–1981, 1983–1984 na 2004–2005 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Angry Leeds fan tries to confront Daniel Farke and is led away by stewards
as tempers boil over at Elland Road after defeat by Aston Villa
-
Leeds boss Daniel Farke said he shared the fans' 'anger and disappointment'
after a 2-1 home defeat to Aston Villa left them in the Premier League
relegati...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment