SIMBA QUEENS YAKABIDHIWA BENDERA SAFARI YA UJERUMANI
Timu ya Wanawake (Simba Queens) leo imekabidhiwa bendera ya Taifa kuelekea nchini Ujerumani ambako itafanya ziara ya kisoka ya wiki mbili. Msafara wa timu hiyo unatarajiwa kuondoka hapa nchini Jumatatu Julai 15, 2019 na utarejea nchini Alhamisi Agosti mosi, 2019
0 comments:
Post a Comment