Manny Pacquiao akimuadhibu Keith Thurman katika pambano la raundi 12 asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand Garden mjini Las Vegas ambalo alishinda kwa pointi na kutwaa taji la WBA uziro wa Super Welter. Majaji wawili walimpa ushindi wa pointi 115-112 Pacquiao, wakati Glenn Feldman alimpa Thurman ushindi wa pointi 114-113 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the TV commercial that made a spooky prediction about the NSW Blues'
huge State of Origin problem
-
Footy fans were left shocked by a major NSW failing in the two-point loss
to the Maroons on Wednesday - but they'd been warned about it in a
commercial fea...
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment