MABAO ya Kylian Mbappe dakika ya 34, Antoine Griezmann dakika ya 47 na Ousmane Dembele dakika ya 79 jana yaliipa Ufaransa ushindi wa 3-0 dhidi ya Wales katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Allianz Riviera Jijini Nice - siku ambayo Karim Benzema alikosa penalti akiichezea nchi yake kwa mara ya kwanza baada ya miaka sita
Thursday, June 03, 2021
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



.png)
0 comments:
Post a Comment