MABAO ya Kylian Mbappe dakika ya 34, Antoine Griezmann dakika ya 47 na Ousmane Dembele dakika ya 79 jana yaliipa Ufaransa ushindi wa 3-0 dhidi ya Wales katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Allianz Riviera Jijini Nice - siku ambayo Karim Benzema alikosa penalti akiichezea nchi yake kwa mara ya kwanza baada ya miaka sita
Move over Mary and Nathan! Australia's new power couple, Wallabies
superstar Joseph-Aukuso Suaalii and rising netballer Audrey Little step out
for Bondi lunch date
-
Australia has a new sporting power couple, with Wallabies star
Joseph-Aukuso Suaalii and rising Giants netballer Audrey Little stepping
out publicly together
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment