SIMBA SC YAPATA MKATABA WA BIMA MILIONI 250 KWA MWAKA
KLABU ya Simba SC imeigia mkataba wa miaka miwili wa bima ya afya kwa wachezaji, benchi la ufundi na menejimenti ya Simba na kampuni ya bima ya Moassurance kwa kipindi miaka miwili wenye thamani ya Sh. Milioni 250.
0 comments:
Post a Comment