Mwanasoka wa kike wa Australia mwenye asili ya Misri, Assmaah Helal akiwa amevalia hijab ya kiislam katika mazoezi mjinji Sydney hivi karibuni (February 23, 2012). Mchezaji huyo ni mzuri, lakini sheria tata ya ya FIFA kuzuia vazi hilo la kiislamu katika soka inamaanisha hawezi kuonyesha kipaj chake na kutimiza ndoto zake kupitia mchezo huo akiwa na jezi ya Australia. Assmah amesema hijab ni sehemu ya utambulisho wa mwanamke wa kiislamu na ameiomba FIFA ifikirie upya suala hilo. AFP PHOTO / Torsten BLACKWOOD
Gary Lineker 'signs HUGE ITV deal to host new celebrity game show' - after
leaving the BBC and Match Of The Day following anti-semitism row
-
Gary Lineker has reportedly signed a huge deal with ITV to host a brand new
celebrity game show - after leaving the BBC earlier this year following an
anti...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment