• HABARI MPYA

    Thursday, June 14, 2012

    STARS YAKABIDHIWA BENDERA TAYARI KUUA MAMBA

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meckysadik (pichani kulia) asubuhi hii ameibakidhi bendera timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars katika kambi yao, hoteli ya Tansoma, eneo la Gerezani, Dar es salaam kwa ajili ya safari yao ya Msumbiji kesho kucheza na wenyeji, Mambas Jumapili katika mechi ya kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika mwakani nchini Afrika Kusini.



    Beki Kelvin Yondan

    Kiungo mkabaji Frank Damayo

    Mabakidhiano ya bendera

    Katibu wa TFF, Angetile Osiah akkzungumza

    Rais wa TFF, Leodegar Tenga akizungumza 

    Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen akijadiliana na Msaidizi wake, Sylvester Marsh

    Kiungo Haruna Moshi 'Boban' akisikiliza kwa makini

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meckysaidk akizungumza kwa hisia

    Kocha wa makipa wa Taifa Stars, Juma Pondamali kushoto akiwa Msemaji wa Azam FC, Jaffar Iddi 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: STARS YAKABIDHIWA BENDERA TAYARI KUUA MAMBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top