Yanga B imeshindwa kuwatilia
baraka kaka zao, kuelekea mchezo wa jioni, baada ya kuwaruhusu mabingwa wa
Kombe la BancABC Sup8R, Simba B, inayofundishwa na Suleiman Matola, akisaidiwa
na Amri Said kutoka nyuma kwa mabao 2-0 na kupata sare ya 2-2. Mabao ya Yanga B
inayofundishwa na kocha wake, Salvatory Edward akisaidiwa na Abubakar Salum yamefungwa
na Kelvin Nkini kipindei cha kwanza na Notikel Masasi kipindi cha pili, wakati
ya Simba yalifungwa na Miraj Athumani na Omar Salum dakika za lala salama.
NDLEA Apapa intercepts 14 containers of psychotropic drugs
-
By Steve Agbota The National Drug Law Enforcement Agency (NDLEA), Apapa
Strategic Seaport Command, on Thursday, said that it intercepted 14
containers wi...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment