Msanii Edson Wilson, aka Baby Boy, (pichani) ambaye yupo chini ya lebo ya Zizzou Entertainment, ametoa wimbo mpya
uitwao Hey ambao tayari
umekwishafanyiwa video na kampuni ya Inzy Entertainment, ambayo amesema hiyo ni
zawadi kwa mashabiki wake baada ya kimya cha muda mrefu na amewaambia wakae
mkao wa kula kwa vigongo zaidi.
Anthony Joshua’s fight in Nigeria pegged for 2026
-
Former world boxing heavyweight champion, Anthony Joshua’s career-long
dream to host a match in Nigeria is closer to reality as boxing promoter
Ezekiel A...