• HABARI MPYA

    Saturday, February 09, 2013

    SIR FERGUSON ALALAMIKIA KUCHEZA NA EVERTON SIKU TATU KABLA YA KUIVAA REAL MADRID ULAYA


    KOCHA wa Manchester United, Sir Alex Ferguson ameilalamikia Ligi Kuu England kwa kumpangia kucheza na Everton leo, ikiwa ni siku tatu kabla ya kukutana na Real Madrid katika Ligi ya Mabingwa Ulaya. 
    Katika siku ambayo Ferguson alipigwa faini ya pauni 12,000 na FA kwa kauli mbaya, pia alimropokea kocha wa kikosi cha vijana chini ya miaka 21 cha England, Stuart Pearce kwa kusema beki wa United, Phil Jones anaumwa shingles (ugonjwa fulani wa ngozi wenye kusababisha uvimbe kweney sehemu ya mwili). 
    Na Ferguson wazi hakuwa mwenye furaha alipoishambulia Ligi Kuu na Sky TV kwa kuwapa Madrid nafasi kuelekea mchezo wa kwanza dhidi yao Jumatano.
    Furious: Sir Alex Ferguson is unhappy with the scheduling of tomorrow's TV game against Everton
    Sir Alex Ferguson hafurahii na mechi na Everton
    It's 4-4: Steven Pienaar's goal against Manchester United last season hit Ferguson hard
    Ilikuwa 4-4: Bao la Steven Pienaar dhidi ya Manchester United msimu uliopita lilimuumiza Ferguson
    Next up: Manchester United will face Cristiano Ronaldo and Co on Wednesday as United travel to Madrid
    Manchester United itakutana na Cristiano Ronaldo na wenzake wa Real Jumatano mjini Madrid
    Not enough Fergie time

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SIR FERGUSON ALALAMIKIA KUCHEZA NA EVERTON SIKU TATU KABLA YA KUIVAA REAL MADRID ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top