• HABARI MPYA

    Saturday, February 09, 2013

    MANCINI: NINGEKUWA TAJIRI, NINGETUMIA FEDHA ZANGU ZOTE KWA TIMU YANGU


    KOCHA Roberto Mancini ameponda sheria ya kuzuia matumizi makubwa ya fedha, ambayo anaamini inaletwa ili kupunguza nguvu ya klabu kama Manchester City. 
    Huku sheria mpya ya Ligi Kuu juu ya matumizi ya fedha ikitarajiwa kutambulishwa ifanye kazi sambamba na UEFA, itazipa wakati mgumu klabu kama City kufanikiwa bila kuwekeza. 
    'Sikubaliani,' alisema Mancini. 'Ikiwa mimi ni tajiri, nataka kutumia fedha zangu zote timu yangu. Sikubaliani na hii kwa ujumla, lakini hayo ni maoni yangu binafsi. 
    Angalia video huko chini
    Clean up job: Manchester City manager Roberto Mancini (right) chats with Aguero by City's boot-cleaning device this morning
    Roberto Mancini (kulia) akizungumza na Sergio Aguero 

     VIDEO  Mancini asema mechi ya Real Madrid itawadhoofisha wapinzani wao, Man United


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MANCINI: NINGEKUWA TAJIRI, NINGETUMIA FEDHA ZANGU ZOTE KWA TIMU YANGU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top