![]() |
Kiungo wa Yanga, Frank Domayo akigombea mpira na wachezaji wa JKT Mgambo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1. |
![]() |
Beki wa Yanga, Oscar Joshua akipiga krosi mbele ya beki wa JKT Mgambo |
![]() |
Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akichuana na mchezaji wa Mgambo JKT kugombea mpira |
![]() |
Mshambuliaji wa Yanga SC, Said Bahanuzi akimiliki mpira mbele ya beki wa JKT Mgambo |
![]() |
Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao lao |
![]() |
Mashabiki wa Kizungu wa Yanga wakinunua jezi za timu hiyo |
![]() |
Mashabiki wa Yanga wakipoza koo kwa bia wakati wa mapumziko, timu yao ikiwa nyuma kwa bao 1-0 |
![]() |
Mashabiki wa Yanga |
![]() |
Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Moses katabaro akimpongeza Haruna Niyonzima baada ya mechi |
![]() |
Mpenzi wa Yanga Kaisi kushoto akimshangaa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba SC, Swedi Nkwabi kutokea Uwanja wa Mkwakwani leo |
![]() |
Wanalaumiana? Viongozi wa Yanga kutoka kushoto Makamu Mwenyekiti, Clement Sanga, Wajumbe Abdallah Bin Kleb, Seif Ahmad na Mohamed Nyenge baada ya mechi |
![]() |
Presha inapanda, presha inashuka...Kutoka kulia ni Nyenge, Seif na Katabro wakati Yanga ikiwa nyuma kwa 1-0 |
![]() |
Kipa wa JKT Mgambo, Godson Mmasi akiwa ameduwaa baada ya Yanga kusawazisha, huku akipozwa na beki wake |
![]() |
Kiungo wa Yanga SC, Nizar Khalfan akipiga mpira huku beki wa Mgambo JKT akizuia |
![]() |
Kikosi cha Yanga SC leo |
![]() |
Kikosi cha Mgambo JKT leo |
![]() |
Beki wa Mgambo JKT akiwa ameondosha mpira kwenye hatari mbele ya Nizar |
![]() |
Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva akipiga mpira huku beki wa Mgambo JKT akizuia |
![]() |
Hamisi Kiiza wa Yanga akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa JKT Mgambo |
![]() |
Mbuyu Twite wa Yanga SC akimdhibiti mshambuliaji wa JKT Mgambo |
![]() |
Frank Domayo wa Yanga akigombea mpira na beki wa JKT Mgambo |
![]() |
Hamisi Kiiza akimtoka beki wa Mgambo JKT... |
![]() |
...Amewekwa chini ndani...hii inaitwaje? |