• HABARI MPYA

    Sunday, July 14, 2013

    MOYES ARUHUSIWA KUSAJILI YEYOTE AMTAKAYE DUNIANI BILA KUJALI GHARAMA HATA IWE RONALDO AU BALE...AAMBIWA FEDHA IPO MAN UNITED

    IMEWEKWA JULAI 14, 2013 SAA 10:29 JIONI
    KLABU ya Manchester United iko tayari kusajili wachezaji bora duniani kama Cristiano Ronaldo au Gareth Bale, baada ya klabu kusema itampa sapoti David Moyes kama atataka kununua wachezaji wa bei mbaya. 
    Kocha mpya, Moyes  hadi sasa amemsajili Guillermo Varela pekee kwa daua mbalo halikutajwa na litakuwa kiduchu tu.
    Lakini, Mtendaji Mkuu wa klabu, Ed Woodward amesema mpunga upo wa kusajili wachezaji wenye vipaji na kwamba watakuwa kushindana na klabu yoyote hata kwa Pauni Milioni 60 au 70.
    Aiming high: Manchester United could yet make a move to sign Gareth Bale in the summer transfer window
    Mlengwa mkuu: Manchester United inaweza kuwa tayari kumsaini Gareth Bale majira haya ya joto
    Respect: Cristiano Ronaldo refused to celebrate after netting in the Champions League tie against United
    Heshima: Cristiano Ronaldo aligoma kushangilia alipoifunga United katika Ligi ya Mabingwa
    Old favourite: Ronaldo left Sir Alex Ferguson's team for a record £80million in 2009 for the Bernabeu
    Ataraudi nyumbani?: Ronaldo aliondoka United chini ya Sir Alex Ferguson kwa dau la rekodi, Pauni Milioni 80 mwaka 2009 kuhamia
    Spain starlet: Thiago Alcantara
    Cesc Fabregas
    Vijana wa Barca: United pia imekuwa ikihusishwa na kutaka kuwasajili Thiago Alcantara (kushoto) na Cesc Fabregas (kulia) 
    David Moyes
    Ed Woodward
    Sapoti ipo: Kocha mpya, David Moyes (kushoto) ameahidiwa sapoti na Mtendaji Mkuu, Ed Woodward (kulia) 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MOYES ARUHUSIWA KUSAJILI YEYOTE AMTAKAYE DUNIANI BILA KUJALI GHARAMA HATA IWE RONALDO AU BALE...AAMBIWA FEDHA IPO MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top