• HABARI MPYA

    Friday, July 05, 2013

    NICO ANELKA AREJEA LIGI KUU ENGLAND...ASAINI MKATABA WA MWAKA MMOJA KUFANYA KAZI WBA

    IMEWEKWA JULAI 5, 2013 SAA 12:49 ASUBUHI
    KLABU ya West Brom imethibitisha kumsajili mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa, Nicolas Anelka.
    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34, ambaye kwa sasa ni huru, amesaini Mkataba mfupi wa mwaka mmoja kufanya kazi The Hawthorns.
    Klabu hiyo imethibitisha kwenye ukurasa wake wa Twitter: "Albion usiku huu (jana) imekamilisha usajili wa Anelka rasmi kwa mwaka mmoja,"
    Done deal: Youssouf Mulumbu posted this picture of Nicolas Anelka holding the West Brom shirt on Thursday afternoon
    Dili limekamilika: Youssouf Mulumbu ameposti hii picha ya Nicolas Anelka akiwa ameshika jezi ya West Brom jana

    Kocha wa Baggies, Steve Clarke, ambaye alifanya kazi na Anelka kwa muda mfupi Chelsea, amefurahishwa na usajili huo.
    Nicolas Anelka
    Mtu wa safari: Anelka amechezea Chelsea, Bolton, Liverpool, Manchester City na Arsenal zote za England 
    Youngster: Anelka burst onto the Premier League stage with Arsenal in 1997, and was sold two years later
    Alipokuwa kinda: Anelka aliibuka katika Ligi Kuu ya England mwaka 1997 akianzia Arsenal na akauzwa miaka miwili baadaye
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: NICO ANELKA AREJEA LIGI KUU ENGLAND...ASAINI MKATABA WA MWAKA MMOJA KUFANYA KAZI WBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top