• HABARI MPYA

    Thursday, September 12, 2013

    OZIL AANZA MAZOEZI NA ARSENAL NA KUSEMA; "NITAMUDU LIGI YA MIGUVU ENGLAND"

    IMEWEKWA SEPTEMBA 12, 2013 SAA 5:35 USIKU
    MCHEZAJI mpya ghali wa Arsenal, Mesut Ozil amekiri Ligi Kuu ya England ni ya miguvu lakini hana anachohofia na yuko tayari kuendana na mchezo huo.
    Kiungo huyo wa kimataifa wa Ujerumani mwenye umri wa miaka 24 alisema hayo baada ya mazoezi yake ya kwanza na timu hiyo asubuhi ya leo, tangu asajiliwe kwa Pauni Milioni 42.5 kutoka Real Madrid.
    "Naangalia mbele kucheza ligi hii, nimeangalia mechi nyingi za Ligi Kuu," alisema Ozil. "Kweli, ni soka ya miguvu sana, ni mchezo wa watu, na ninataka kujidhihirisha England. Pia nimecheza Bundesliga na Hispania na kujidhihirisha,".
    VIDEO Kaangalia Mesut Ozil akisema: Mimi ni Mtutu!
    New home: Mesut Ozil trained for the first time with Arsenal since signing from Real Madrid
    Maskani mpya: Mesut Ozil amefanya mazoezi kwa mara ya kwanza na Arsenal tangu asajiliwe kutoka Real Madrid
    Welcome to England: Arsenal's Per Mertesacker, left, trains with fellow German international Mesut Ozil
    Karibu England: Beki wa Arsenal, Per Mertesacker (kushoto) akifanya mazoezi na Mjerumani mwenzake, Mesut Ozil
    Ozil pia alizungumzia sababu za kutosikitika kuondoka Madrid ni kutokana na kocha Arsene Wenger kujenga imani kubwa juu yake na hiyo ndiyo ilimfanya akubali kuhamia Arsenal, kwani nayo ni klabu kubwa duniani. 
    No looking back: Ozil appears relaxed as he trains for the first time with Arsenal
    Hakuna kuangalia nyuma: Ozil akiwa mwenye raha katika mazoezi yake ya kwanza Arsenal
    Happy face: Mesut Ozil
    Stretching out: Mesut Ozil
    Mchezaji ghali: Ozil amejiunga Arsenal kutoka Real Madrid kwa Pauni Milioni 42
    Chat before the hard work begins: Ozil, left, and Mertesacker prepare themselves for Arsenal trainingMazungumzo kabla ya kazi ngumu kuanza: Ozil (kushoto) na Mertesacker wakijiandaa kwa mazoezi
    Training drill: Ozil
    On the ball: Ozil
    Poa kabisa: Ozil akijifua mazoezini Arsenal
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: OZIL AANZA MAZOEZI NA ARSENAL NA KUSEMA; "NITAMUDU LIGI YA MIGUVU ENGLAND" Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top